Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kajala: Watu wanaamini sana magazeti, sina utajiri huo wanaousema na wala sina ubavu wa kumwajiri Wema Sepetu

$
0
0
Kajala Masanja amedai kuwa maisha yake hayajabadilika sana kama ambavyo magazeti ya udaku yamekuwa yakiandika. Muigizaji huyo wa filamu alisema kuwa tetesi kuwa ana fedha nyingi kiasi cha kuwa na mpango wa kumwajiri Wema Sepetu ni uzushi mtupu. “Mbona maisha yangu ni ya kawaida sana,”  Amesema Kajala.   “Mimi naona nipo vilevile hakuna kubwa sana lililongezeka. Nafanya shughuli

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>