MBUNGE
wa Kondoa Kusini, Juma Nkamia (CCM), kwa mara nyingine ameingia katika
kashfa nzito akituhumiwa kutaka kumpiga Mbunge wa Viti Maalumu CUF,
Moza Abeid ndani ya Ukumbi wa Bunge.
Tukio hilo lilitokea mwanzoni
mwa wiki ambapo imeelezwa kuwa Nkamia mbali na kutaka kumpiga mbunge
huyo, pia alimtolea matusi mazito ya nguoni..
Kwa mara ya kwanza
mbunge huyo aliingia katika
↧
MBUNGE WA CCM NUSURA AMCHAPE MAKOFI MBUNGE WA CUF.....NI YULE ALIYEMFANANISHA SUGU NA MBWA BUNGENI
↧