Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MBUNGE WA CCM NUSURA AMCHAPE MAKOFI MBUNGE WA CUF.....NI YULE ALIYEMFANANISHA SUGU NA MBWA BUNGENI

$
0
0
MBUNGE wa Kondoa Kusini, Juma Nkamia (CCM), kwa mara nyingine ameingia katika kashfa nzito akituhumiwa kutaka kumpiga Mbunge wa Viti Maalumu CUF, Moza Abeid ndani ya Ukumbi wa Bunge. Tukio hilo lilitokea mwanzoni mwa wiki ambapo imeelezwa kuwa Nkamia mbali na kutaka kumpiga mbunge huyo, pia alimtolea matusi mazito ya nguoni.. Kwa mara ya kwanza mbunge huyo aliingia katika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>