Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

RAIS KIKWETE AWATAKA VIONGOZI WA DINI WAENDELEE KUHUBIRI AMANI, UPENDO NA MSHIKAMANO

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuhubiri kuhusu amani upendo na mshikano na kuendelea kuwajenga vijana katika maadili mema ili taifa lisiangamie. Rais kiwete ameyasema hayo Mkoani Morogoro katika Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu wa Askofu Telesphori Mkude wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro ambapo amesema serikali itaendela kushirikiana na kanisa katoliki

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>