Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp bila kukusudia.
Akitoa uamuzi wake jaji Thokozile Masipaal alisema kuwa mwanariadha
huyo alimuua Reeva kwa bahati mbaya alipofyatua risasi kupitia kwa
mlango wake wa choo akiwa katika hali ya mshtuko akidhani kuwa jambazi
aliyekuwa amevamia nyumba yake.
Alisema kuwa upande
↧