Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sababu za kufukuzwa kazi Rais wa shirikisho la muziki Tanzania.

$
0
0
Hii ni moja ya habari kubwa za Magazeti ya leo Tanzania ambapo gazeti la Uhuru limeandika kwamba Rais wa shirikisho la muziki Tanzania Addo Novemba amefutwa kazi baada ya kuhusika na upotevu wa pesa za rambirambi ya Mwanamuziki.    Zilikua ni pesa zilizotolewa kama rambirambi kwenye msiba wa Mwanamuziki wa siku nyingi Tanzania mzee Gurumo ambazo zilikua ni milioni 1.1. Fedha hizo zilikua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>