Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Moto wateketeza vyumba 20 vya kulala wanafunzi

$
0
0
Vyumba 20 vya bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari ya African Muslim, iliyoko Kata ya Kaloleni, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, vimeteketea kwa moto.   Moto huo ambao ulizuka juzi saa 1:45 jioni na kuwaka kwa zaidi ya saa tano, ulianzia katika choo cha shule hiyo, jirani na Bweni la Makka kabla ya kuruka kwenye chumba cha jirani na kusambaa kwenye vyumba 20 vilivyoko

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>