Vyumba 20 vya bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari ya African
Muslim, iliyoko Kata ya Kaloleni, Manispaa ya Moshi, mkoani
Kilimanjaro, vimeteketea kwa moto.
Moto huo ambao ulizuka juzi saa 1:45 jioni na kuwaka kwa zaidi ya saa
tano, ulianzia katika choo cha shule hiyo, jirani na Bweni la Makka
kabla ya kuruka kwenye chumba cha jirani na kusambaa kwenye vyumba 20
vilivyoko
↧