Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete Afanya Ziara ya Kushtukiza Uwanja wa Ndege Dar kukagua utayari wa Tanzania kukabiliana na Ebola

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete, amefanya ziara ya kushtukiza katika maeneo kunakofanyika maandalizi ya kukinga nchi dhidi ya maambukizi ya virusi vinavyosababisha homa hatari ya ebola, ikiwemo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam.   Akizungumza katika ziara hiyo jana, Rais Kikwete alisema   ameshitukiza makusudi na aliipanga juzi usiku na kuianza jana asubuhi,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles