Kufuatia
kuongezwa kwa kodi katika huduma za simu za mkononi , gharama za huduma
hizo zinatajiwa pia kuongezeka kuanzia Julai Mosi mwaka huu.
Taarifa
ya pamoja iliyotolewa jijini Dar es salaam na Umoja wa Makampuni ya
Simu za Mkononi Tanzania – MOAT imesema pendekezo la serikali la kuweka
kodi ya 14.5 kwenye huduma za simu za mkononi hazotoweza kukwepesha
kupanda kwa gharama za simu
↧