Basi la kampuni ya Airbus lililokuwa likitoka Dar es Salaam leo
kuelekea Tabora limepinduka katika maeneo ya Kiegeya Gairo.
Haijulikani idadi kamili ya watu waliopoteza maisha lakini ni wengi na wengine wamejeruhiwa vibaya sana.
“Picha hazifai kuonwa na mimi niko eneo la tukio kwa ajili ya
uokozi..viongozi mbali mbali wa serikali tunao hapa..kwakweli ni majonzi
vilio nk,” amesema
↧