Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jeshi la polisi mkoani Geita Lakamata Bunduki 7 Zilizoporwa kituo cha polisi Bukombe.....Jambazi mmoja akamatwa, msako mkali bado unaendelea

$
0
0
Jeshi la polisi mkoani Geita, limefanikiwa kulitia mbaroni jambazi moja na kufanikisha kuzinasa bunduki sita ambazo ziliporwa na kundi la majambazi usiku wa kumkia juzi katika kituo cha polisi wilayani Bukombe. Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu, alisema jambazi hilo lilinaswa porini likiwa na silaha hizo ambazo ziliporwa baada ya kuvamia kituo hicho na kuua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>