Jeshi la polisi mkoani Geita, limefanikiwa kulitia mbaroni jambazi moja
na kufanikisha kuzinasa bunduki sita ambazo ziliporwa na kundi la
majambazi usiku wa kumkia juzi katika kituo cha polisi wilayani Bukombe.
Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu, alisema
jambazi hilo lilinaswa porini likiwa na silaha hizo ambazo ziliporwa
baada ya kuvamia kituo hicho na kuua
↧