Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Pinda Afunguka Rasmi Urais 2015.....Ahofu WAPAMBE Wanaotegemea Fdhila

$
0
0
BAADA ya jina lake kutajwa kuwa miongoni mwa watu watakaowania urais, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, amesema zipo taratibu ndani ya chama chake za kutangaza kuwania nafasi hiyo na kusema kinachoendelea hivi sasa ni juhudi binafsi za watu.   Pinda alisema hayo jana nyumbani kwake jijini Dar es Salaam alipokutana na wahariri wa Mtanzania, kuzungumzia masuala mbalimbali yanayolikabili taifa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>