Wasaniii
walioshiriki tamasha la Fiesta 2014 wakiwa na mishumaa jukwaani
wakisambaza upendo na kuwafariji wale wote waliopotelewa na ndugu
zao,waliojeruhiwa katika ajali iliyotokea hivi karibuni wilayani
Butiama mkoani Mara,ambapo watu zaidi ya 40 walipoteza maisha na wengine
kujeruhiwa vibaya.
Sehemu
ya umati wa wakazi wa mji wa musoma wakiwa ndani ya uwanja wa
Karume,wakati
↧