TAMASHA
la Serengeti fiesta lililokuwa lifanyike Ijumaa katika Uwanja wa
Karume mjini Musoma na kuahirishwa kutokana na ajali mbaya ya gari
iliyotokea mjini humo sasa linatarajiwa kufanyika Jumapili ya
leo jioni katika uwanja huo huo imeelezwa.
Mkurugenzi
wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengetj ambao ndio wadhamini wakuu wa
tamasha hilo, Ephraim Mafuru alisema kampuni yao pamoja
↧