Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tamasha la Serengeti Fiesta kufanyika Leo Musoma

$
0
0
TAMASHA la Serengeti fiesta lililokuwa lifanyike Ijumaa katika Uwanja wa Karume mjini Musoma na kuahirishwa kutokana na ajali mbaya ya gari iliyotokea mjini humo sasa linatarajiwa kufanyika Jumapili ya leo jioni katika uwanja huo huo imeelezwa. Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengetj ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha hilo, Ephraim Mafuru alisema  kampuni yao pamoja

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>