Waziri wa Uchukuzi, Dk Harisson Mwakyembe ameagiza makampuni ya Mabasi ya J4 Express na Mwanza Coach yafungiwe mara moja.
Akizungumza na mwandishi wa mtandao Dk
Mwakayembe amesema sehemu iliyotokea ajali na kusababisha vifo vya watu
39 na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa ni sehemu ambayo kila dereva
alikuwa akimuona mwenzake, hivyo ulikuwa ni uzembe wa hali ya juu.
“Ile sehemu
↧