Mkurugenzi
wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,pichani wa tatu shoto Ruge
Mutahaba akiwa sambamba na baadhi ya wasanii waliokuwa wakitarajiwa
kutumbuiza leo usiku mjini Musoma kwenye tamasha la Fiesta,lakini hata
hivyo Uongozi wa Clouds Media Group,Prime Time Promotions ambao ndio
waandaaji pamoja na Wadhamini wa tamasha hilo kwa pamoja wamekubaliana
kuaihirisha onyesho hilo
↧