Utabiri wa wengi kuwa ushosti wa waigizaji masistaduu wa Bongo Movies,
Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja kutumbukia nyongo unadaiwa kutimia
na sasa wametibuana,
Habari
za ndani kutoka kwa mtu wa karibu (jina linahifadhiwa), mwanzoni baada
ya Wema kumlipia Kajala faini ya Sh. milioni 13 na kumnusuru
kutokwenda Segerea a.k.a Segedansi, wawili hao walikuwa marafiki kama
pete na
↧