Rais mstaafu wa Marekani, George W.
Bush na mkewe, Laura, wanatarajiwa kuwasili nchini mwezi ujao ambapo
watahutubia kongamano litakalojadili wajibu wa wake za marais katika
kuinua wanawake duniani.
Taasisi ya George Bush ndiyo imeandaa kongamano hilo litakalofanyika Dar es Salaam kuanzia Julai 2 hadi 3.
Taarifa
iliyotolewa jana na taasisi hiyo kwa vyombo vya habari, ilisema
↧