Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari amemtuhumu
Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kwamba anahusika na kipigo
alichokipata kutokana na chuki aliyonayo kwake.
Aidha amemtuhumu Spika wa Bunge, Anne Makinda kwamba naye ni
miongoni mwa watu wanaomchukia pamoja na viongozi wengine wa Bunge, kwa
kuwa hakuna kati yao aliyempigia simu au kumtumia ujumbe wa kumjulia
hali kutokana
↧