Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tamko la Serikali: Waombaji Ajira wazingatie taratibu

$
0
0
Serikali ya Tanzania imewataka waombaji wa kazi kuzingatia taratibu zinazotakiwa katika kuwasilisha maombi ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza kutokana na kuwepo wa tatizo la kuwasilisha nyaraka pungufu.   Akizungumza Jijini Dar es Salaam Msemaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Riziki Abraham amesema kumekuwepo na kutokufuata taratibu kwa waombaji wa kazi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>