Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Saba Mbaroni kwa tuhuma za kupora na kuua Wanawake jijini Arusha

$
0
0
Watu saba wamekamatwa Jijini Arusha  kwa tuhuma za kuhusika kwenye mauaji ya unyang’anyi wa kutumia silaha kwa wanawake.   Wanadaiwa pia kusababisha   kifo cha mtoto, Christen  Nickos mwenye umri wa miaka mitatu na nusu  mkazi wa Olasiti hapa.   Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas alisema watu wawili kati ya saba ambao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles