Mtoto Rose (kushoto) aliyelawitiwa, na mwenzake Diana aliyetoroshwa na kigogo mmoja aliyetajwa kwa jina la Moses.
****
Wakati watetezi wa haki za binadamu wakizidi kupiga vita matukio ya
unyanyasaji wa watoto na wanawake, kigogo mmoja aliyetajwa kwa jina la
Moses anadaiwa kumlawiti mtoto, Rose (16) na kumtorosha mwingine aitwaye
Diana (12) ambaye ni denti wa darasa la nne.
Kigogo huyo
↧