Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge lajigeuza Tume ya Warioba.....Lapokea maoni ya makundi mbalimbali, Katibu atetea.....Warioba Aponda

$
0
0
Kitendo cha Bunge Maalumu la Katiba kukusanya maoni ya makundi na wananchi mbalimbali, kimepokewa kwa hisia tofauti, baadhi ya wasomi wakisema ni kinyume cha sheria na kuonyesha kutapatapa huku Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akisema linafanya kazi ambayo tayari tume yake ilishaifanya.    Hata hivyo, Katibu wa Bunge hilo, Yahya Khamis Hamad

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>