Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mgomo Mpya wa Wafanyabiashara Wa Jiji la Mwanza Waanza Rasmi LEO.....Mkurugenzi adaiwa kuwakimbia, TRA Watishia kuwafungia Leseni zao

$
0
0
Wafanyabisahara jijini Mwanza leo wameanza mgomo wa kutofungua maduka yao kwa siku zisizojulikana kwa kile walichodai Mkurugenzi wa jiji hilo, Hassan Hida amekataa kukutana nao kwa lengo la kujadili changamoto zinazowakabili.   Mgomo huo utakuwa wa pili kufanyika baada ya mara ya kwanza kutokea  wakati wafanyabiashara hao wakigomea matumizi ya  mashine za Stakabadhi za Elekitroniki (

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>