Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Viongozi wa Magharibi walaani mauaji ya kikatili ya mwandishi wa habari raia wa Marekani.

$
0
0
Kumekuwa na shutuma za kimataIfa kufuatia kuuawa kikatili kwa mwandishi wa habari raia wa Marekani na kundi la islamic state nchini Syria.   Waziri wa masuala ya kigeni wa Uingereza Philip Hammond amesema kuwa mashirika ya kijasusi yanajaribu kumtambua yule aliyemuua Foley ambaye anaoneka kuwa na lafudhi ya Uingereza. Rais wa Marekani Barack anatarajiwa kutoa taarifa yake baadaye

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>