Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tanzia: Jaji Lewis Makame afariki Dunia

$
0
0
Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi-(NEC), Jaji Lewis Makame amefariki baada ya kuugua maradhi ya moyo kwa muda mrefu.   Jaji Makame alikuwa amelazwa katika hospitali ya AMI iyopo Mikocheni, Dar es Salaam tangu July mwaka huu hadi mauti ilipomfika leo Alfajiri.   July, 28 rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete alikwenda kumjulia hali msaafu huyo wa NEC

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>