Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

JK aitisha Kamati Kuu ya Dharura....Kutua Dodoma na Siri nzito Moyoni, kauli yake kufungua Ukurasa Mpya kesho.....Rungu kuwaangukia waliotangaza kugombea Urais

$
0
0
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, ameitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu kitakachofanyika Dodoma kesho.   Habari za uhakika zilizopatikana Dar es Salaam jana, zinasema moja ya ajenda kubwa inayoweza kutawala kikao hicho ni mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba ambalo limesusiwa na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).   Kwa muda sasa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>