Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rihanna anataka kununua club kubwa ya soka ya UK, amuomba ushauri Didier Drogba

$
0
0
Rihanna anasemekana kuwa na nia ya dhati kutaka kununua club ya soka ya Uingereza na tayari amezungumza na Didier Drogba ambaye ni rafiki yake wa karibu ili ampe ushauri. Muimbaji huyo mwenye miaka 26 pia amepanga kuanzisha chuo cha michezo nchini kwao Barbados na kisha anapenda kuwa mwenyekiti ama mmiliki wa club kubwa ya Uingereza.  Chanzo kilicho karibu na Rihanna kilidai kuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>