Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Linex Atangaza Nia Yake Ya Kugombea Ubunge Kupitia Chama Kipya Cha ACT - Tanzania......Asema Mwenyekiti wa chama hicho ni Zitto Kabwe

$
0
0
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa sasa ni msanii kutoka Kigoma All Stars aitwaye  Linex Mjeda.  Amekua wazi kutaja chama ambacho anategemea kugombania nafasi yake ya ubunge aliyosema kuwa tayari ana jimbo anasubiri muda tu na chama alichosema anategemea kugombea ni chama kipya cha ACT.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>