Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trafiki FEKI Aibua Mazito.....Akutwa na Leseni 40, Radio Call na Pea 7 za Jeshi la Polisi

$
0
0
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, jana imelitolea ufafanuzi sakata la kukamatwa kwa askari 'feki' wa Kikosi cha Usalama Barabarani (trafiki), katika kata ya Chamazi, Mbagala Majimatitu, Wilaya ya Temeke, jijini humo.   Mtuhumiwa huyo, Bw. Robson Emmanuel (30), alikamatwa Agosti 2 mwaka huu, akijifanya Ofisa wa Polisi katika kikosi hicho.   Akizungumza na waandishi wa habari

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>