Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watalii 17 Wavamiwa Hotelini Mkoani Kilimanjaro ......Wajeruhiwa, waporwa fedha, simu, kamera na laptop

$
0
0
Kundi  la watu wanaoaminika kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto na mapanga, wamevamia watalii 17 kutoka mataifa mbalimbali na kuwapora kiasi kikubwa cha fedha, kamera na kompyuta mpakato (Laptop), kisha kuwajeruhi wanne na kutoweka.    Tukio hilo kubwa kuwahi kutokea siku za hivi karibuni mkoani Kilimanjaro, limetokea juzi alifajiri eneo la Mailisita kwenye hoteli ya kitalii ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>