Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vigogo 6 Wanaoutafuta Urais ndani ya CCM Watishwa tena.....Yadaiwa wakibainika Watapoteza Sifa ya kugombea nafasi hiyo 2015, Kamati kuwajadili tena Agosti mwaka huu

$
0
0
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitawapima mwezi ujao Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe ili kujua ni kwa kiasi gani wametekeleza masharti yatokanayo na adhabu wanazotumikia kutokana na kukiuka kanuni na taratibu za chama hicho kwa kutangaza kabla ya wakati juu ya nia yao ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu 2015.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles