Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waziri Mkuu Mizengo Pinda aziagiza Halmashauri zote kuendelea na matayarisho ya uchaguzi Mkuu wa Serikali za Mitaa

$
0
0
Waziri mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda ameziagiza halmashauri za wilaya nchini kuendelea na matayarisho ya uchagauzi mkuu wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu huku jitihada zikifanywa na serikali kuwaomba umoja wa katiba ya wananchi  -UKAWA  kukubali kuridhia ombi la kurudi bungeni ili azma hiyo iweze kufikiwa.    Mheshimiwa Pinda ametoa agizo hilo wakati

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>