Waziri mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda ameziagiza halmashauri za wilaya
nchini kuendelea na matayarisho ya uchagauzi mkuu wa serikali za mitaa
unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu huku jitihada zikifanywa
na serikali kuwaomba umoja wa katiba ya wananchi -UKAWA kukubali
kuridhia ombi la kurudi bungeni ili azma hiyo iweze kufikiwa.
Mheshimiwa Pinda ametoa agizo hilo wakati
↧