Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hapatoshi CHADEMA.....Msajili wa Vyama vya Siasa atuma Ujumbe mzito, Mbowe na Dr. Slaa wapigwa Marufuku kugombea uongozi ndani ya chama hicho

$
0
0
Msajili wa vyama vya siasa nchini, jaji Francisi Mutungi ameuagiza uongozi wa Chadema kuitisha baraza kuu ili waitishe mkutano mkuu.   Pia, amewazuia mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na katibu mkuu wake Dr. Wilbrod Slaa kugombea uongozi ndani ya chama hicho hadi pale watakapoafikiana kuhusu kipengele cha ukomo wa uongozi.   Uamuzi huo wa jaji Mutungi unakuja siku chache tuu baada

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>