Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mashabiki wamshambulia Amber Rose kwa kumtaja Wiz Khalifa kuwa mwanaume mwenye mvuto zaidi duniani

$
0
0
Kuna msemo wa Kiswahili uliozoeleka kuwa muwamba ngoma huvutia kwake. Wazungu wenyewe wanasema uzuri upo kwenye macho ya anaeangalia kitu hicho.   Baadhi ya mashabiki ambao hawaamini hayo yaliyoandikwa hapo juu wamemshambuli kwa kejeli mrembo Amber Rose baada ya kupost picha ya mpenzi wake rapper Wiz Khalifa kwenye Instagram na kumtaja kuwa mwanaume mwenye mvuto zaidi duniani. “The

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>