Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali Yajibu hoja ya Ukosefu wa Ajira Nchini.....Yatumia Mawaziri wanne kujibu Mapigo, yawataka wapinzani kuacha Uchonganishi

$
0
0
SERIKALI imetoa ufafanuzi kuhusu tatizo la ajira nchini, huku wanasiasa waliozungumzia tatizo hilo kuwa ni bomu, wakitakiwa kutoa ushauri wa namna ya kulitegua au kupunguza athari zake kama likilipuka.   Mbali na ushauri huo, Serikali pia imewataka wanasiasa wanaotumia tatizo hilo kisiasa, kuonesha mfano wa kusaidia vijana katika majimbo yao kwanza, badala ya kusubiri siku wakipewa nchi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>