Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mauaji Mengine yawakuta Wakenya.....Watano wamevamiwa na kuuawa usiku wa kuamkia leo

$
0
0
Takriban watu watano wameuawa katika shambulizi  jingine katika eneo la pwani ya Kenya  usiku  wa kuamkia  leo.   Mauaji hayo yametokea karibu na eneo ambako mashambulizi mengine yalifanyika wiki jana na kusababisha vifo vya watu zaidi ya sitini Maafisa wanasema kuwa kundi la watu waliokuwa wamejihami walivamia kijiji cha Witu ambacho kiko umbali wa kilomita 15

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>