Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mlipuko wa Bomu watokea huko Zanzibar na kuua mtu mmoja

$
0
0
Taarifa tulizozipata ni kuwa Bomu limelipuliwa baada ya mhadhara wa ndani ya msikiti huko Unguja na kuua  mtu  mmoja  aliyefahamika  kwa  jina  la  Muhammad mkombolaguha. Sheikh Abulfadh'li Qassim ambaye  anadaiwa  kuwa  mlengwa wa shambulio hilo amejeruhiwa mkono na mguu na yupo akipatiwa  matibabu  hospitalini . Tutaendelea  kukuhabarisha  tukipata   habari  mpya  kuhusiana  na  sakata

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>