Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jennifer Lopez kutoshiriki ufunguzi wa kombe la dunia Brazil

Mwanamuziki mashuhuri duniani Jennifer Lopez, amejiondoa katika shamra shamra za ufunguzi wa fainali za kombe la dunia ambazo zitafanyika mjini Sao Paulo siku ya Al-khamisi, kabla ya mchezo wa kwanza fainali hizo ambao utashuhudia wenyeji Brazil wakicheza dhidi ya timu ya taifa ya Mexico.   Taarifa za mwanamuziki huyo kutoka nchini Marekani zimethibitishwa na shirikisho la soka dunianiImage may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>