Tuhuma za Beyonce kumsaliti Jay Z na kutoka na mlinzi wake
aitwae Julius De Boer zilisambaa mwezi uliopita huku likiwaacha
mashabiki wao midomo wazi.
Katika hali inayoonekana kuwa Jay Z amezifanyia kazi kwa msisitizo
zaidi, Beyonce ameonekana mitaani akiwa mlinzi mwingine ambaye
hakufahamika huku wengi wakiuliza nini kimemkuta Julius? Au ndio
katimuliwa kabisa?
Taarifa zaImage may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.
