Mwimbaji wa bongo Flava, H Baba amelazwa hostpitali ya Taifa ya
Muhimbili baada ya madaktari kugundua kuwa ana ugonjwa wa dengue ambao
umeshawauguza watu mbalimbali.
H Baba alipelekwa hospitalini hapo jana usiku, na inaelezwa kuwa
alianza kujisikia anaumwa tangu Jumatano (June 5), wakati anajiandaa
kwenda kuuaga mwili wa marehemu George Tyson aliyefariki kwa ajali ya
gari.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.
