Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

H Baba alazwa Muhimbili baada ya kuugua Dengue

$
0
0
Mwimbaji wa bongo Flava, H Baba amelazwa hostpitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya madaktari kugundua kuwa ana ugonjwa wa dengue ambao umeshawauguza watu mbalimbali.   H Baba alipelekwa hospitalini hapo jana usiku, na inaelezwa kuwa alianza kujisikia anaumwa tangu Jumatano (June 5), wakati anajiandaa kwenda kuuaga mwili wa marehemu George Tyson aliyefariki kwa ajali ya gari.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>