Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waganga wanaodai kutibu UKIMWI sasa kukamatwa.......

$
0
0
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeagiza vyombo vya dola, kukamata waganga wa jadi, wanaojitangaza kutibu magonjwa ya Ukimwi, kisukari na shinikizo la damu.Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dk Seif Rashid alipokuwa akiwasilisha bungeni hotuba ya  bajeti ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2014/15.Aliwasihi wataalamu wa tiba asili na tiba mbadala, kuacha mara moja,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>