Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hatimaye Mbunge Vicky Kamata Kuolewa..Huyu Ndio Mchumba Wake, Ndoa yao itagharimu Sh. milioni 96 za kitanzania

$
0
0
Habari ya mjini ni maandalizi kabambe ya harusi ya staa wa Bongo Fleva na Mbunge wa Viti Maalum (CCM) anayewakilisha Vijana Mkoa wa Geita, Vicky Pascal Kamata ikidaiwa kuwa shughuli hiyo itatafuna kiasi cha Sh. milioni 96. Habari kutoka kwa chanzo cha ndani zinasema kuwa Vicky anatarajia kufunga pingu za maisha Mei 24, mwaka huu na mchumba wake wa muda mrefu anayejulikana kwa jina la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>