Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ufafanuzi wa Serikali kuhusu taarifa ya kufukuzwa wakurugenzi wa Wizara ya Maliasili na Utalii.... " Prof. Alexander Songorwa na Prof. Jafari Kideghesho hawajawahi kufukuzwa kazi ama kuadhibiwa."

$
0
0
Serikali inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa potofu zinazoendelea kuchapishwa na kutangazwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuhusu Watumishi Waandamizi wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof. Alexander Songorwa ambaye ni Mkurugenzi, Idara ya Wanyamapori na Prof. Jafari Kideghesho, Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Matumizi Endelevu ya Wanyamapori. Kumekuwa na taarifa kwenye

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>