Serikali
inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa potofu zinazoendelea
kuchapishwa na kutangazwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuhusu
Watumishi Waandamizi wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof. Alexander
Songorwa ambaye ni Mkurugenzi, Idara ya Wanyamapori na Prof. Jafari
Kideghesho, Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Matumizi Endelevu ya
Wanyamapori.
Kumekuwa na taarifa kwenye
↧