Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askofu wa Kanisa la KKKT lililolipuliwa bomu jijini Mwanza atoa kauli nzito...."Tunalaani kitendo hicho kilichofanyika kwenye eneo la Kanisa letu"

$
0
0
Miongoni mwa habari  kubwa wiki hii ni hii ya bomu kulipuliwa kwenye kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) Mwanza ambapo lilijeruhi mtu mmoja alielazwa hospitali ya Bugando.    Mkuu wa dayosisi Askofu Andrew Gulle anasema: "May 5 2014 bomu limelipuka katika usharika wa kanisa kuu Imani kwenye eneo la rest house saa mbili usiku, ni bomu la kutengenezwa kwa mkono na lilikua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>