KATIKA hali isiyo ya kawaida na inayoashiria uzembe katika ulinzi wa
mbio za Mwenge wa Uhuru, juzi kijana mmoja mkazi wa eneo la Phillips
katika Kata ya Sekei jijini Arusha, Hamad Rashid (32) aliiba kiti
(kigoda) cha kukalishia Mwenge.
Kuibwa kwa kiti hicho kumethibitishwa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa
Arusha, Liberatus Sabas. Kiti hicho hutumika kuwekea Mwenge wa Uhuru
↧