Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha za msiba wa mfanyakazi wa IKULU aliyefariki dunia siku ya sherehe za Mei Mosi katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

$
0
0
Marehemu Rashid Chilangwa, Mtunza Bustani Mkuu wa Ikulu enzi za uhai wake. Marehemu alifariki dunia siku ya sherehe za Mei Mosi katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa pole kwa wafiwa nyumbani kwa marehemu Mabibo jijini Dar es salaam. Mama Salma Kikwete akijumuika na wafiwa katika kuomboleza msiba nyumbani kwa marehemu Rashidi Chilangwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>