KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema anatarajia kuvunja na kuunda upya Baraza la Mawaziri Vivuli, litakaloshirikisha viongozi wengine wa vyama vya upinzani, wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Aidha, alisisitiza kasi ya Ukawa katika kuizunguka nchi na kufanya mikutano mbalimbali, kamwe haijapungua.
Alisema hayo juzi katika viwanja
↧