Mwaka huu umekuwa mwaka mzuri zaidi kimuziki kwa msanii toka
rock City Mwanza Kala Jeremiaha ambae maombi yake kwa ‘Dear God’ yamesikika na
amepata majibu kwa njia ya kipekee na wimbo wake ‘Dear God’ umeweza kuchukua
tuzo tatu katika Kilimanjaro Music Awards 2013.
Kala Jeremiah ametumia
mkuki mmoja kunasa ‘swala’ wake watatu muhimu mwaka huu, Dear God imeweza kumpa
nafasi kubwa na
↧