Hatimaye mkutano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa),
uliokuwa umezuiwa kupisha sherehe za Muungano utafanyika leo katika
Viwanja vya Kibandamaiti, Unguja baada ya kupata baraka za polisi.
Mkutano huo awali ulikuwa ufanyike Aprili 19,
mwaka huu lakini ukazuiwa na polisi kwa maelezo kuwa intelijensia yao
ilionyesha kuwa kungekuwa na tishio la maisha ya watu. Hivyo
walishauriwa
↧