Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wema Sepetu afunguka......"Najuta kumlipia Kajala milioni 13, bora ningemuacha akaenda Jela..."

$
0
0
  KAMA kuna kitu kinakukwaza ndani ya moyo wako, siku zote ukikaa nacho kitazidi kukuumiza lakini ukiamua kumtafuta mtu ambaye umeshibana naye na kumsimulia, moja kwa moja utakuwa umeutua mzigo! Hicho ndicho amekifanya Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kwa kuweka kweupe chanzo cha ugomvi wake na staa mwenzake, Kajala Masanja huku akijuta kumlipia mwanadada huyo zile Sh.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles